Tue Oct 18 2022 14:01:35 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
b9e08c3516
commit
3bedcf3bf3
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 19 Kisha Daudi akaomba msaada kutoka kwa Yahwe. Akasema, "Je niwashambulie Wafilisti? Je utanipa ushindi juu yao?" Yahwe akamwambia Daudi, "Washambulie, kwa hakika nitakupa ushindi juu ya Wafilisti." \v 20 Hivyo Daudi akawashambulia huko Baali Perasimu, naye akawashinda. Akasema, Yahwe amewafurikia adui zangu mbele yangu kama mafuriko ya maji. Kwa hiyo jina la mahali pale likawa Baali Perasimu. \v 21 Wafilisiti wakaacha vinyago vyao pale, na Daudi na watu wake wakaviondoa.
|
||||
\v 19 Kisha Daudi akaomba msaada kutoka kwa Yahwe. Akasema, "Je niwashambulie Wafilisti? Je utanipa ushindi juu yao?" Yahwe akamwambia Daudi, "Washambulie, kwa hakika nitakupa ushindi juu ya Wafilisti." \v 20 Hivyo Daudi akawashambulia huko Baali Perasimu, naye akawashinda. Akasema, Yahwe amewafurikia adui zangu mbele yangu kama mafuriko ya maji. Kwa hiyo jina la mahali pale likawa Baali Perasimu. \v 21 Wafilisti wakaacha vinyago vyao pale, na Daudi na watu wake wakaviondoa.
|
|
@ -98,7 +98,6 @@
|
|||
"05-11",
|
||||
"05-13",
|
||||
"05-17",
|
||||
"05-19",
|
||||
"05-22"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue