sw_2ch_text_reg/11/18.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 18 Rehoboamu akajitwalia mke: Mahalathi, binti wa Yerimothi, mwana wa Daudi na wa Abihaili, binti wa Eliabu, mwana wa Yese. \v 19 Akamzalia wana: Yeushi, Shemaraia, na Zahamu.