sw_2ch_text_reg/10/12.txt

1 line
418 B
Plaintext

\v 12 Kwa hiyo Yeroboamu na watu wote wakaja kwa Rehoboamu katika siku ya tatu, kama aliavyosema mfalme, "Rudini kwangu katika siku ya tatu," \v 13 Yeroboamu akasema kwa kwao kwa ukatili, akiupuuza aushauri wa wazee. \v 14 Akasema kwao akiufuata ushauri wa wanaume vijana, akisema, " Baba yangu aliifanya nira yenu nzito, lakini mimi nitaiongeza. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini mimi nitawaadhibu kwa nge."