sw_2ch_text_reg/09/05.txt

1 line
294 B
Plaintext

\v 5 Akasema kwa mfalme, "Ni kweli, taarifa ninioisikia katika nchi yangu kuhusu maneno yako na hekima yako. \v 6 Sikuamini nilichokisika mpaka nilipokuja hapa, na sasa macho yangu yamekiona. Sikuambiwa nusu kuhusu hekima yako na utajiri wako! Umeuzidi umaarufu niliokuwa nimesikia kuhusu wewe.