sw_2ch_text_reg/06/34.txt

1 line
302 B
Plaintext

\v 34 Ikiwa kwamba watu wako wakaenda nje kupigana dhidi ya adui zao, kwa njia yoyote ambayo unaweza kuwatuma, na ikiwa kwamba wakaomba kwako kuelekea mji huu ambao umeuchagua, na kuelekea nyumba ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako. \v 35 Basi sikiliza maombi yao mbinguni, ombi lao, na uwasaidie.