sw_2ch_text_reg/02/01.txt

1 line
458 B
Plaintext

\c 2 \v 1 Sasa Sulemani akaamuru kulijenga nyumba kwa jina la Yahwe na nyumba kwa ajili ya ikulu ya ufalme wake. \v 2 Sulemeni akateua wanaume elfu sabini wabebe mizigo, na wanaume elfu themanini wa kukata mbao katika mlima, na wanaume 3, 600 kwa ajili ya kusimamia. \v 3 Sulemani akatuma ujumbe kwa Hiramu, mfalme wa Tiro, ukisema, "Kama ulivyofanya na Daudi baba yangu, ulivyomtumia magogo ya mierezi ili ajenge nyumba ya kuishi, fanya hivyo hivyo na mimi.