sw_2ch_text_reg/01/06.txt

1 line
240 B
Plaintext

\v 6 Sulemani akaenda huko kwenye madhabahu ya shaba mbele za Yahwe, ambayo ilikuwepo mahali pa hema ya kukutania, na akatoa sadaka elfu za kuteketezwa juu yake. \v 7 Mungu akamtokea Sulemani usiku huo na akasema kwake, "Omba! Nikupe nini?"