sw_2ch_text_reg/35/22.txt

1 line
202 B
Plaintext

\v 22 Hata hivyo, Yosia alipuuza kurudi nyuma. Akajibadilisha ili apigane naye. Hakusikiliza maneno ya Neko ambayo yalikuja kutoka kwenye kinywa cha Mungu; hivyo akaenda kupigana katika bonde la Megido.