sw_2ch_text_reg/36/08.txt

1 line
218 B
Plaintext

\v 8 Kwa mambo mengine kuhusu Yehoyakimu, mambo mabaya aliyofanya, na yaliyopatikana dhidi yake, tazama, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli. Basi Yekonia, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.