sw_2ch_text_reg/12/02.txt

1 line
415 B
Plaintext

\v 2 Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe. \v 3 Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapanda farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia. \v 4 Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.