sw_2ch_text_reg/05/04.txt

1 line
377 B
Plaintext

\v 4 Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku. \v 5 Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vitu hivyo. \v 6 Mfalme Sulemani na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na ng'ombe ambao hawakuweza kuhesabika.