sw_2ch_text_reg/04/17.txt

1 line
233 B
Plaintext

\v 17 Mfalme alikuwa amevisubu katika uwanda wa Yordani, katika udongo wa mfinyanzi kati kati ya Sukothi na Sereda. \v 18 Hivyo ndivyo Sulemani alivyovitengeneza vyombo vyote kwa wingi; kwa kweli, uzito wa shaba haukuweza kujulikana.