diff --git a/02/11.txt b/02/11.txt index e9fc86e..eb044f7 100644 --- a/02/11.txt +++ b/02/11.txt @@ -1 +1 @@ -\v 11 Kisha Hiramu, mfalme wa Tiro, akajibu kwa maandishi, ambayo alimtumia Selemani: "Kwa kuwa Yahwe anawapenda watu wake, amekufanya kuwa mfalme juu yao." \v 12 Zaidi ya hayo, Hiramu akasema, "Abarikiwe Yahwe, Mungu wa Israeli, aliyeziumba mbingu na dunia, amempa Daudi mwana mwenye hekima, mwenye karama ya busara na uelewa, ambaye atajenga nyumba kwa aajili ya Yahwe, na nyumba kwa ajili ya ufalme wake. \ No newline at end of file +\v 11 Kisha Hiramu, mfalme wa Tiro, akajibu kwa maandishi, ambayo alimtumia Sulemani: "Kwa kuwa Yahwe anawapenda watu wake, amekufanya kuwa mfalme juu yao." \v 12 Zaidi ya hayo, Hiramu akasema, "Abarikiwe Yahwe, Mungu wa Israeli, aliyeziumba mbingu na dunia, amempa Daudi mwana mwenye hekima, mwenye karama ya busara na uelewa, ambaye atajenga nyumba kwa aajili ya Yahwe, na nyumba kwa ajili ya ufalme wake. \ No newline at end of file diff --git a/02/13.txt b/02/13.txt index 3fe198c..47c67f6 100644 --- a/02/13.txt +++ b/02/13.txt @@ -1 +1 @@ -\v 13 Sasa nimemtum mtu mwenye ujuzi, mwenye karama ya uelewa, Hiramu, mtaalamu wangu. \v 14 Ni mwana wa mwanamke wa binti za Dani. Baba yake alikuwa mtu kutoka Tiro. Ana ujuzi katika kazi za dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe, na katika mbao, na katika dhambarau, samawati, na sufu yenkundu, na kitani safi. Pia ana ujuzi katika kutengeneza michoro ya aina yoyote na katika kubuni kitu chochote. Apatiwe nafsi miongoni mwa watumishi wako wenye ujuzi, na pamoja na wale wa bwana wangu, Daudi, baba yako. \ No newline at end of file +\v 13 Sasa nimemtuma mtu mwenye ujuzi, mwenye karama ya uelewa, Hiramu, mtaalamu wangu. \v 14 Ni mwana wa mwanamke wa binti za Dani. Baba yake alikuwa mtu kutoka Tiro. Ana ujuzi katika kazi za dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe, na katika mbao, na katika dhambarau, samawati, na sufu yenkundu, na kitani safi. Pia ana ujuzi katika kutengeneza michoro ya aina yoyote na katika kubuni kitu chochote. Apatiwe nafsi miongoni mwa watumishi wako wenye ujuzi, na pamoja na wale wa bwana wangu, Daudi, baba yako. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 99dfb27..54fb3fd 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -49,6 +49,7 @@ "02-04", "02-06", "02-08", + "02-11", "33-title", "33-01", "33-04",