Wed Dec 21 2022 15:18:51 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
6ecb5b1faa
commit
bf0b6976ae
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 15 Yahwe, Mungu wa babu zao, akatuma maneno kwao tena na tena kupitia wajumbe wake, kwa sababu alikuwa na huruma juu ya watu wake na juu ya sehemu anayoishi. \v 16 Lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, wakayadharau maneno yake, na kuwackeka manabii wake, hadi hasira ya Yahwe ilipoinuka dhidi ya watu wake, hadi palipokosekana msaada.
|
||||
\v 15 Yahwe, Mungu wa babu zao, akatuma maneno kwao tena na tena kupitia wajumbe wake, kwa sababu alikuwa na huruma juu ya watu wake na juu ya sehemu anayoishi. \v 16 Lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, wakayadharau maneno yake, na kuwackeka manabii wake, hadi hasira ya Yahwe ilipoinuka dhidi ya watu wake, hadi pasiwe msaada.
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 17 Hivyo Mungu alimpeleka juu yao mfalme wa Wakaldayo, ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga ndani ya patakatifu, na hakuwa na huruma juu ya vijana au mabikra, watu wazee au wenye mvi. Mungu akawatoa wote mikononi mwake.
|
||||
\v 17 Hivyo Mungu aliwapeleka juu yao mfalme wa Wakaldayo, ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga ndani ya patakatifu, na hakuwa na huruma juu ya vijana au mabikra, watu wazee au wenye mvi. Mungu akawatoa wote mikononi mwake.
|
|
@ -42,6 +42,7 @@
|
|||
"36-08",
|
||||
"36-09",
|
||||
"36-11",
|
||||
"36-13"
|
||||
"36-13",
|
||||
"36-15"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue