diff --git a/11/20.txt b/11/20.txt index 736f8d3..85233d6 100644 --- a/11/20.txt +++ b/11/20.txt @@ -1 +1 @@ -\v 20 Baaad ya Mahalathi, Rehoboamu akamchukua Maaka, binti Absalomu; akamzalia Abiya, Atai, Ziza, na Shelomithi. \v 21 Rehoboamu akampenda Maaka, binti Solomoni, zaidi kuliko wake za wengine wote na masuria (alichukua wake kumi na nane na masuria sitini, na akawa baba wa wana ishirini na nane na mabinti sitini). \ No newline at end of file +\v 20 Baada ya Mahalathi, Rehoboamu akamchukua Maaka, binti wa Absalomu; akamzalia Abiya, Atai, Ziza, na Shelomithi. \v 21 Rehoboamu akampenda Maaka, binti Absalomu, zaidi kuliko wake za wengine wote na masuria (alichukua wake kumi na nane na masuria sitini, na akawa baba wa wana ishirini na nane na mabinti sitini). \ No newline at end of file