diff --git a/13/10.txt b/13/10.txt index 4d0201c..b9f104a 100644 --- a/13/10.txt +++ b/13/10.txt @@ -1 +1 @@ -\v 10 Lakini kwetu, Yahwe ni Mungu wetu, na hatujamsahau. Tuna makuhani, uzao wa Haruni, wakimtumikia Yahwe, na Walawi, ambao wako kataika kazi yao. \v 11 Kila asubuhi na jioni humtolea Yahwe sadaka za kuteketezwa na uvumba mtamu. Pia hupanga mkate wa uwepo juu ya meza takatifu; pia huweka kinara cha dhahabu pamoaja na taa zake, ili watoe sadaka kila jioni. sisi huzishika sheria za Yahwe, Mungu wetu, Lakini ninyi mmemsahau. \ No newline at end of file +\v 10 Lakini kwetu, Yahwe ni Mungu wetu, na hatujamsahau. Tuna makuhani, uzao wa Haruni, wakimtumikia Yahwe, na Walawi, ambao wako katika kazi yao. \v 11 Kila asubuhi na jioni humtolea Yahwe sadaka za kuteketezwa na uvumba mtamu. Pia hupanga mkate wa uwepo juu ya meza takatifu; pia huweka kinara cha dhahabu pamoja na taa zake, ili watoe sadaka kila jioni. sisi huzishika sheria za Yahwe, Mungu wetu, Lakini ninyi mmemsahau. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 5696935..0279f88 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -165,6 +165,7 @@ "13-01", "13-04", "13-06", + "13-08", "33-title", "33-01", "33-04",