From 5c946d1511d340d937439e94cc8c4013dbfbd908 Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: nicholuskombo Date: Thu, 23 Feb 2023 16:39:55 +0300 Subject: [PATCH] Thu Feb 23 2023 16:39:54 GMT+0300 (East Africa Time) --- 10/16.txt | 2 +- 1 file changed, 1 insertion(+), 1 deletion(-) diff --git a/10/16.txt b/10/16.txt index d96bf30..c3d96c7 100644 --- a/10/16.txt +++ b/10/16.txt @@ -1 +1 @@ -\v 16 Israeli wote, walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu na kusema, "Tunasehemu gani katika Daudi? Hatuna urith katika wana wa Yese! Kila mmoja wenu anapaswa kwenda katika hema yake, Israeli. Sasa kila mtu aone nyumba yake, Daudi." Kwa hiyo Israeli wote wakarudi kwenye hema zao. \v 17 Lakini kwa watu wa Yuda walioishi katika miji ya Yuda, Yeroboamu akatawala juu yao. \v 18 Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, ambaye alikuwa msimamizi wa wafanya kazi, lakini watu wa Israeli walimuua kwa kumpiga mawe. Mfalame Rehoboamu akaingia haraka ndani ya gari lake kwenda Yerusalemu. \v 19 Kwa hiyo Israeli wakawa waasi dhidi ya nyumba ya Mungu hadi leo. \ No newline at end of file +\v 16 Israeli wote, walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu na kusema, "Tunasehemu gani katika Daudi? Hatuna urithi katika wana wa Yese! Kila mmoja wenu anapaswa kwenda katika hema yake, Israeli. Sasa kila mtu aone nyumba yake, Daudi." Kwa hiyo Israeli wote wakarudi kwenye hema zao. Lakini kwa watu wa Yuda walioishi katika miji ya Yuda, Yeroboamu akatawala juu yao. Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, ambaye alikuwa msimamizi wa wafanya kazi, lakini watu wa Israeli walimuua kwa kumpiga mawe. Mfalame Rehoboamu akaingia haraka ndani ya gari lake kwenda Yerusalemu. Kwa hiyo Israeli wakawa waasi dhidi ya nyumba ya Mungu hadi leo. \ No newline at end of file