From 2ced5de4f7443c3371d5b0f214d6d6bea798edd1 Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: nicholuskombo Date: Thu, 26 Jan 2023 11:45:26 +0300 Subject: [PATCH] Thu Jan 26 2023 11:45:26 GMT+0300 (East Africa Time) --- 02/17.txt | 2 +- 1 file changed, 1 insertion(+), 1 deletion(-) diff --git a/02/17.txt b/02/17.txt index eccbf5d..8034f95 100644 --- a/02/17.txt +++ b/02/17.txt @@ -1 +1 @@ -\v 17 \v 18 Selemani akawahesabu watu wageni waliokuwa katika nchi ya Israeli, kwa kutumia njia ya Daudi, baba yake, aliyoitumia kuwahesabu. Walikutwa wako 153, 600. Miongoni mwao aliwateua sabini elfu ili wabebe mizigo, themanini elfu kuwa wakataji wa mbao katika milima, na 3, 600 kuwa wasimamizi wa kuwasimamia watu wafanye kazi. \ No newline at end of file +\v 17 \v 18 Sulemani akawahesabu watu wageni waliokuwa katika nchi ya Israeli, kwa kutumia njia ya Daudi, baba yake, aliyoitumia kuwahesabu. Waliwakuta kuwa 153, 600. Miongoni mwao aliwateua sabini elfu ili wabebe mizigo, themanini elfu kuwa wakataji wa mbao katika milima, na 3, 600 kuwa wasimamizi wa kuwasimamia watu wafanye kazi. \ No newline at end of file