diff --git a/06/10.txt b/06/10.txt index 796580e..944e183 100644 --- a/06/10.txt +++ b/06/10.txt @@ -1 +1 @@ -\v 10 Yahwe ameyatimiza maneno aliyokuwa amesema, kwa maana nimeiinua sehemu ya Daudi baba yangu, na nitakaa juu ya kiti cha enzi cha Israeli, kama alivyoahidi Yahwe. Nimeijenga nyumba kwa ajii ya jina la Yahwe, Mungu wa Israeli. \v 11 Nimeliweka humo sanduku, amabamo kuna agano la Yahwe, alilofanya na watu wa Israeli." \ No newline at end of file +\v 10 Yahwe ameyatimiza maneno aliyokuwa amesema, kwa maana nimeiinua sehemu ya Daudi baba yangu, na nitakaa juu ya kiti cha enzi cha Israeli, kama alivyoahidi Yahwe. Nimeijenga nyumba kwa ajii ya jina la Yahwe, Mungu wa Israeli. \v 11 Nimeliweka humo sanduku, ambamo kuna agano la Yahwe, alilofanya na watu wa Israeli." \ No newline at end of file diff --git a/06/12.txt b/06/12.txt index 6e897af..6de7ea0 100644 --- a/06/12.txt +++ b/06/12.txt @@ -1 +1 @@ -\v 12 Selemani akasimama mbele ya madhabahu ya Yahwe mbele za kusanyiko lote la Israeli, na akanyosha mikono yake. \v 13 Kwa mana alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, lenye urefu wa mikono mitano, upana wa mikono mitano, urefu wake kwenda juu mikono mitatu. Alikuwa ameliweka katika ya uwanja. Akasimama juu yake na kupiga magoti mbele ya kusanyiko la Israeli, kisha akanyosha mikono yake kuzielekea mbingu. \ No newline at end of file +\v 12 Sulemani akasimama mbele ya madhabahu ya Yahwe mbele za kusanyiko lote la Israeli, na akanyosha mikono yake. \v 13 Kwa maana alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, lenye urefu wa mikono mitano, upana wa mikono mitano, urefu wake kwenda juu mikono mitatu. Alikuwa ameliweka katika ya uwanja. Akasimama juu yake na kupiga magoti mbele ya kusanyiko la Israeli, kisha akanyosha mikono yake kuzielekea mbingu. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index ad03d14..5adac95 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -82,6 +82,7 @@ "06-01", "06-04", "06-07", + "06-10", "33-title", "33-01", "33-04",