sw_1ti_text_ulb/02/13.txt

1 line
253 B
Plaintext

\v 13 Kwa kuwa Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva. \v 14 Adamu hakudanganywa, lakini mwanamke alidanganywa kabisa katika uasi. \v 15 Hata hivyo, ataokolewa kwa kupitia kuzaa watoto, kama wataendelea katika imani na upendo na katika utakaso na akili njema.