diff --git a/05/17.txt b/05/17.txt index 86330f6..c6cbefe 100644 --- a/05/17.txt +++ b/05/17.txt @@ -1 +1 @@ -\v 17 Basi wazee wale watawalao vyema wahesabiwe kuwa wamestahili heshima maradufu, hasa wale wanaojishughulisha na kufundisha neno la Mungu. \v 18 Kwa kuwa maandiko yanasema, "Usimfumbe ng'ombe kinywa apurapo nafaka," "Mfanya kazi anastahili mshahara wake." \ No newline at end of file +\v 17 Basi wazee wale watawalao vyema wahesabiwe kuwa wamestahili heshima maradufu, hasa wale wanaojishughulisha na kufundisha neno la Mungu. \v 18 Kwa kuwa maandiko yanasema, "Usimfumbe ng'ombe kinywa apurapo nafaka," na "Mfanya kazi anastahili mshahara wake." \ No newline at end of file