sw_1ki_text_reg/02/43.txt

1 line
241 B
Plaintext

\v 43 Kwa nini basi umeshindwa kulinda kiapo chako kwa BWANA na amri niliyokupa?" \v 44 Pia mfalme akamwambia Shimei, "Unajua katika moyo wako maovu yote uliyofanya kwa baba yangu Daudi. Kwa hiyo BWANA atakurudishia maovu yako kichwani pako.