Sun Sep 25 2022 18:11:33 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
2df4d9dc63
commit
f7f99624a9
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 5 Wakati huo, Adonia mwana wa Hagithi alijiinua akisema, "Nitakuwa mfalme." Kwa hiyo akajiandalia magari na wapanda farasi hamsini ili wapige mbio mbele yake. \v 6 Baba yake alikuwa hajawahi kumsumbua kwa kusema, "kwa nini umefanya hili na lile?" Adonia alikuwa mwanamume mzuri sana aliyezaliwa baada ya Absalomu.
|
||||
\v 5 Wakati huo, Adoniya mwana wa Hagithi alijiinua akisema, "Nitakuwa mfalme." Kwa hiyo akajiandalia magari na wapanda farasi hamsini ili wapige mbio mbele yake. \v 6 Baba yake alikuwa hajawahi kumsumbua kwa kusema, "kwa nini umefanya hili na lile?" Adonia alikuwa mwanamume mzuri sana aliyezaliwa baada ya Absalomu.
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 7 Akashauriana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari kuhani. Wakamfuata Adonia wakamsaidia. \v 8 Lakini Sadoki kuhani, Benaya mwana wa Yehoyada, nabii Nathani, Shimei, Rei, na watu mashujaa wa Daudi hawakumfuata Adonia.
|
||||
\v 7 Akashauriana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari kuhani. Wakamfuata Adonia wakamsaidia. \v 8 Lakini Sadoki kuhani, Benaya mwana wa Yehoyada, nabii Nathani, Shimei, Rei, na watu mashujaa wa Daudi hawakumfuata Adoniya.
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 9 Adonia akataoa dhabihu za Kondoo, na ndama walionona kwenye jiwe la Sohelethi, ambalo liko karibu na Eni Rogeli. Akawakaribisha ndugu zake wote, watoto wa mfalme, wanaume wote wa Yuda, na watumishi wa mfalme. \v 10 Lakini hakumkaribisha nabii Nathan, Benaya, wanaume mashujaa, au ndugu yake Sulemani.
|
||||
\v 9 Adoniya akataoa dhabihu za Kondoo, na ndama walionona kwenye jiwe la Sohelethi, ambalo liko karibu na Eni Rogeli. Akawakaribisha ndugu zake wote, watoto wa mfalme, wanaume wote wa Yuda, na watumishi wa mfalme. \v 10 Lakini hakumkaribisha nabii Nathan, Benaya, wanaume mashujaa, au ndugu yake Sulemani.
|
Loading…
Reference in New Issue