sw_deu_text_ulb/04/07.txt

1 line
250 B
Plaintext

\v 7 \v 8 Kuna taifa gani jingine la vile liko hapo lina mungu karibu nao, kama Yahweh Mungu wetu tunapomwita wakati wowote? Kuna taifa gani jingine liko hapo ambalo lina sheria na amri ili kwamba haki pamoja na sheria ambayo ninaweka mbele yenu leo?