sw_deu_text_ulb/09/04.txt

1 line
266 B
Plaintext

\v 4 Msiseme kwenye mioyo yenu, baada ya Yahweh Mungu wenu kuwatupilia toka mbele yenu, "ilikuwa kwa sababu ya haki yangu kwamba Yahweh amenileta mimi kuimiliki nchi hii; kwa kuwa ilikuwa kwa sababu ya maovu ya mataifa haya kwamba Yahweh anawaondowa toka mbele yenu.