sw_deu_text_ulb/14/11.txt

1 line
162 B
Plaintext

\v 11 \v 12 \v 13 Ndege wote safi mnaweza kula. Lakini hawa ni ndege ambao hampaswi kila: tai, tumbusi, kipungu, mwewe mwekundu na mweusi, aina yoyote ya kipanga.