sw_deu_text_ulb/10/18.txt

1 line
181 B
Plaintext

\v 18 \v 19 Hutekeleza haki kwa yatima na wajane, na huonesha upendo kwa mgeni kwa kumpa chakula na mavazi. Kwa hiyo basi mpende mgeni; kwa kuwa mlikuwa wageni ktuoka nchi ya Misri.