sw_deu_text_ulb/04/15.txt

1 line
471 B
Plaintext

\v 15 \v 16 \v 17 \v 18 Basi iweni waangalifu ninyi wenyewe - kwa kuwa mliona hakuna namna ya umbo siku hiyo ambapo Yahweh alizungumza kwenu Horeb kutoka katikati mwa moto, ili kwamba usiharibike na kuchonga umbo katika sura ya kiumbe chochote, umbo la mwanaume au mtu wa kike, au sura ya mnyama aliye katika nchi, au sura ya ndge yoyote wa mabawa arukae katika anga, au sura ya kitu chochote kitambaacho katika ardhi, au sura ya samaki yoyote katika maji chini ya ardhi.