sw_deu_text_ulb/02/10.txt

1 line
167 B
Plaintext

\v 10 \v 11 Hapo awali waliishi Waemi, watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Waanaki; hawa pia wanafikiriwa kuwa Rephaimu, kama Waanaki, lakini Wamoabi huwaita Waemi.