diff --git a/22/18.txt b/22/18.txt new file mode 100644 index 0000000..a5cf3b1 --- /dev/null +++ b/22/18.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 18 \v 19 Wazee wa mji wanapaswa kumchukua mwanamume huyo na kumuadhibu; nao wanapaswa kumtoza faini ya shekeli mia moja ya fedha, na kumpatia baba wa binti, kwa sababu mwanamume kasababisha sifa mbaya kwa bikra wa Israeli. Binti huyu anapaswa kuwa mke wake; mwanamume huyu hatakiwi kumfukuza katika siku zake zote. \ No newline at end of file diff --git a/22/20.txt b/22/20.txt new file mode 100644 index 0000000..9a1bea4 --- /dev/null +++ b/22/20.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 20 \v 21 Ila kama jambo hili ni la kweli, kwamba ushahidi wa bikra ya binti haukupatikana, basi wanapaswa kumpeleka binti mlangoni kwa baba yake, na kisha wanamume wa mji wake wanatakiwa kumpiga kwa mawe hadi afe, kwa sababu amefanya jambo la aibu katika Israeli, kwa kutenda kama kahaba chini ya nyumba ya baba yake, nanyi mtakuwa mmeondoa uovu miongoni mwenu. \ No newline at end of file diff --git a/22/22.txt b/22/22.txt new file mode 100644 index 0000000..aa65c78 --- /dev/null +++ b/22/22.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 22 Iwapo mwanamume kakutwa analala na mwanamke ambaye ni mke wa mtu, basi wote wanapaswa kufa, mwanamume aliyelala na mwanamke pamoja na mwanamke mwenyewe; nanyi mtakuwa mmeondoa uovu miongoni mwenu. \ No newline at end of file