sw_1ti_text_ulb_rev/06/17.txt

1 line
405 B
Plaintext

\v 17 Waambie matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, na wasitumaini katika utajiri, ambao siyo wa uhakika. Badala yake, wanapaswa kumtumaini Mungu. Ambaye hutupatia utajiri wote wa kweli ili tufurahie. \v 18 Waambie watende mema, watajirike katika kazi njema, wawe wakarimu, na utayari wa kutoa. \v 19 Katika njia hiyo watajiwekea msingi mzuri kwa mambo yajayo, ili kwamba waweze kushika maisha halisi.