1 line
188 B
Plaintext
1 line
188 B
Plaintext
|
\v 6 Sasa utauwa na kuridhika ni faida kubwa. \v 7 Kwa maana hatukuja na chochote duniani. Wala hatuwezi kuchukua chochote kutoka duniani. \v 8 Badala yake, tutosheke na chakula na mavazi.
|