|
\v 24 Sasa, kwa ule anayeweza kumilinda katika kuanguka na kumitembeza bila kosa na furaha kubwa mbele ya utukufu wake, \v 25 Kwake pekee, Mungu wa Mwokozi wetu, kupitiya Yesu Kristo Bwana wetu: utukufu, heshima, utawala na uwezo iwe kwake, jana, leo na milele. Amina. |