swc_jud_text_reg/01/24.txt

1 line
270 B
Plaintext

\v 24 Sasa, kwa ule anayeweza kumilinda katika kuanguka na kumitembeza bila kosa na furaha kubwa mbele ya utukufu wake, \v 25 Kwake pekee, Mungu wa Mwokozi wetu, kupitiya Yesu Kristo Bwana wetu: utukufu, heshima, utawala na uwezo iwe kwake, jana, leo na milele. Amina.