swc_jud_text_reg/05/24.txt

1 line
202 B
Plaintext

\v 24 Jaeli, ubarikiwe kati ya banamuke, bibi wa Heberi, mukenia ! Ubarikiwe kati ya bana muke benye kuishi chini ya hema. \v 25 Alilomba mayi, akamupa maziwa, akamupa maziwa kaika kikombe kya heshima.