swc_jud_text_reg/05/21.txt

1 line
195 B
Plaintext

\v 21 Mutoni wa kisoni uliwachugua, mutoni wa Zamani, mutoni wa kisoni. Nafasi yangu angusha wa sujaa. \v 22 Na kwato ya punda ikakanyanga-kanyanga wakati walikimbiya-kimbiya, na wapambanaji wao.