\v 9 Moyo wangu na weka kwa kiongozi wa Israeli, wa taifa yenye ilikuwa tayari kwa mapambano. Bariki Bwana ! \v 10 Mweye benye kupanda Punda weupe, nyinyi benye kuikala ku mazulia ya bei kali, na mweye benye kutemeya na mikulu, muimbe !