swc_jud_text_reg/05/07.txt

1 line
248 B
Plaintext

\v 7 Vyongozi wa Israeli hawakuwa na nguvu tena wakati nisisimama, miye Debora, wakati nilisimama kama vile mamawa Israeli. \v 8 Alichagua mungu ingine : vita ika ingiya kumilango; hatukuona tena ngao wala mkuki kwa watu elfu makumi ine ya Israeli.