swc_jud_text_reg/05/05.txt

1 line
193 B
Plaintext

\v 5 Vilima vikatingizika mbele ya Bwana, Sinaï mbele yako Bwana, Mungu wa Israeli. \v 6 Wakati wa shamgari, mtoto wa Anata, wakati wa Jaeli, njia iliachia, na wasafiri walipitiya njia ingine.