\v 3 Wafalme, musikiye, watoto wa wafalme mutege sikiyo ! Nitaimba, ndiyo, nitamuuimbiya Bwana Mungu wa Israeli. \v 4 O Bwana ! wakati ulitoka Szira, wakati ulienda mushamba ya Edom, udongo ulitetemeka, mbingu na mawingu bika yayuka sawa vile mayi;