swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/05/09.txt

1 line
305 B
Plaintext

\v 9 Kama tuna pata ushuda ya bantu , ushuda ya Mungu iko munene sana ; kwamana ushuda ya Mugu ina semezeya ushuda dju ya Mutoto yake. \v 10 Ule anamina Mutoto ya Mungu eko na ushuda dani hake yemoya ; ule ashi amini Mungu ana djifanya wa bongo, kwamana ashi itshikiye ushuda ya Mungu dju ya Mutoto yake.