swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/04/19.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 19 Dju yetu , tuna mupenda , kwamana aritupenda wa kwandja . \v 20 Kama mutu ana sema ; mina mupenda Mungu , na ana mutshukiya nduku yake , ni wa bongo ; kwamana ule ahi mupende nduku yake ulen eko na wona , kwa mana kani atezi kumupenda Mungu ule ashi one? \v 21 Na tuko na mapasha ina sema ; ule ana penda Mungu ana penda naye nduku yake.