1 line
417 B
Plaintext
1 line
417 B
Plaintext
\v 11 Mupendwa , kama Mungu aritupenda ivi , na shiye tunapasha kupendana bamoya na bengine. \v 12 Akuna muntu asha kumonaka Mungu; kama tunaripenda bamoya na bengine , Mungu ata ikala dani yetu, na pendo yake ni ukweri dani yetu. \v 13 tuna djuwa asema tuko dani yake , na yeye eko dani yetu , kwa ile aritupa roh yake. \v 14 Na shiye , turiona na turiakikisha asema Baba arituma Mutoto ya kama Mukombozi ya dunia. |