swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/03/23.txt

1 line
287 B
Plaintext

\v 23 Na apa djo mapasha ; tuna aminiya mu djina la Mwana wake Yesu Kristo , na tuna pendana baya na bengine, ku fatana na mapasha ile ari tupa. \v 24 Ule eko na mapasha ana ikala dani ya Mungu, na Mungu eko dani yake ; na tuna djuwa asema ana ikala dani yetu kupitiya Roh ile aritupa.