swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/03/19.txt

1 line
375 B
Plaintext

\v 19 kupitiya iyi tuta djuwa asema tuku kweri , na tuna tumainiya ma roh yetu kubele yake; \v 20 kama roh yetu ina tu ukumu , Mungu eko munene kupita roh yetu, na ana djuwa kintu kiote. \v 21 Bapendwa , kama roh ayi tu ukumu , tuko na kitumaini bele ya Mungu . \v 22 kile kiote tuta lomba, tuta ipata kwake , kwamana tuna tshunga mapasha na tu nafanya kile kina mupendeza.