swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/03/09.txt

16 lines
297 B
Plaintext

\v 9 Ule wote arizarika na Mungu ashi fanyake zambi, kwamana beko ya Mungu iko dani yake ; na ashiwezi kufanya zambi, dju arizarika na Mungu. \v 10 Djo kule tuna djuwa batoto ba Mungu na batoto ya shetani. Ule wote ashi tumikiye ukweri ana wa Mungu , naule ashi pende nduku yake.
u