swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/03/04.txt

1 line
289 B
Plaintext

\v 4 \ v 4 Ule wote anafania zambi ana enda pembeni ya sheria, na zambi iko nenda pembeni ya sheria. \v 5 kwalakini , munadjuwa , Yesu arikuya kutosha zambi , na akuna zambi dani yake. \v 6 ule wote anekala dani ya zambi ana wake ; ule wote a natenda zambi ashi kumone , na ashikumudjuwe.