swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/03/01.txt

1 line
369 B
Plaintext

\c 3 \v 1 Mone mapendo ya Baba ina tu shudiya , dju batu ite batoto ya Mungu! nq tuko bqtoto yqke . kamq dunia ayi tudjuwe , nikusema qshi mudjuze. \v 2 Bapendwa , tu na kuya sasa batoto ya Mungu , na ile tu takuya ayi ya onekana , tutakukuya sa yeye , kwama tuta mu ona vile eko. \v 3 ule wote eko na ile imani dani yake aritakase , sa vile eko yemoya eko mutakatifu.