swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/02/09.txt

1 line
319 B
Plaintext

\v 9 Ule ana sema eko mu mwangaza , na ana mutukiya dunkwake , akingari dani ya ginza . \v 10 Ule ana penda dunku yake eko mu mwangaza, na dani yake amustakuya bubaya. \v 11 kwalakini ule ana tchukiya nduku yake eko mu ginza , na ana tembeya dani yayo , na ashi djuwe kule anenda, kwamana ginza inalabisha mantcho yake.