swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/02/01.txt

1 line
338 B
Plaintext

\c 2 \v 1 Batoto yangu kiloko , na miandjikiya ibi bintu , dju mushifanye zambi. na kama muntu ana fanya zambi , tuko na wakutusambiya kumbele ya Baba , Yesu Kristo wa aki. \v 2 Eko yemoya sadaka djo ya ma zambi yetu, apana paka dju yetu , na kwabale beko mu dunia yote. \v 3 Kama tu natshunga mapasha yake , pale tuta sema tunamudjuwa.