swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/01/08.txt

1 line
304 B
Plaintext

\v 8 Kama tunasema atuna na zambi , tunarilanda shibenyewe , na ukweri ayina dani yetu. \v 9 Kama tunatubu ma zambi yetu , eko mwaminifu na mwenye aki dju yaku turumiya, na kututakasa kububaya bwetu bote . \v 10 Kama tu na sema atukufyanwe zambi , tu na mufanya wa bongo, na neno yake ayina dani mwetu.